Kwa jina la Allah, mwanzoni na mwisho. (Iwapo mtu ata sahau kusema Bismillah awa — Kula & Kunywa
بِسْمِ اللَّهِ أَوَّلَهُ وَآخِرَهُ
Maandishi ya Kilatini: Bismillaahi awwalahu wa aakhirah
Tafsiri: Kwa jina la Allah, mwanzoni na mwisho. (Iwapo mtu ata sahau kusema Bismillah awali)
Marejeo: Abu Dawud, Tirmidhi